Jumuiya ya Marafiki wa Kinondoni inapenda kuwakaribisha watu wote wanaokidhi vigezo na masharti ya kujiunga na wangependa kuwa sehemu ya Jumuiya. Utaratibu wa kujiunga na jumuiya ni kama ufuatao: -
- Nunua fomu ya maombi ya uanachama kwa kulipia Tsh. 10,000/= kwa kutuma kwenye namba hii 0676 330 338 (Ismail Kagambo) tigo-pesa, ada hii haitarudishwa (non-refundable),
- Baada ya kulipia tuma sms kwa namba hii 0712 831 052 ukitoa taarifa ya kufanya malipo husika,
- Katibu wa Jumuiya atakuelekeza utaratibu wa kuipata fomu yako ya maombiya uanachama pamoja na maelekezo mengine.
NB:
Katibu atakujulisha juu ya hatma ya maombi yako na kukupa maelekezo ya kina juu ya hatua zote zinazofuata ili kukamilisha utaratibu wa kujiunga na Jumuiya ya Marafiki wa Kinondoni iwapo maombi yako yatakubaliwa.
Kama una swali, maoni au jambo lolote kuhusu Jumuiya ya Marafiki wa Kinondoni, tuandikie barua pepe marafiki.kinondoni@gmail.com au tupigie simu 0656 974 983 (Katibu Mkuu).
Kama una swali, maoni au jambo lolote kuhusu Jumuiya ya Marafiki wa Kinondoni, tuandikie barua pepe marafiki.kinondoni@gmail.com au tupigie simu 0656 974 983 (Katibu Mkuu).
No comments:
Post a Comment